WAMTUKANA MUNGU KAMA MTANI WAO!

 

MAAJABU MAKUBWA YATOKEA DUNIANI NA “AI” 

WAMTUKANA MUNGU KAMA MTANI WAO!

Ni jambo la kushangaza sana kusikia  kuwa  punda azungumza kama  binadamu!  maajabu hayo  yametokea  duniani hivi  mapema. Ambayo maajabu   hayo ni ya Mungu tu  ndiye mtendaji  wa  maajabu  hayo.

Kama binadamu  wote wa dunia hii wangeelewa vizuri kuwa Mungu yupo duniani na ndiye  anaetenda  maajabu  mengi zaidi. Na mwenye uwezo wote  kupita uwezo wote wa binadamu duniani kote,watu wasingeuwa binadamu wenzao,au wasingepigana vita duniani. Ama wasingefanya  ujambazi,na ugaidi Maana  mtaalamu wa mambo  ya vita duniani  ni Mungu  peke  yake,  ndiye aliye na ujuzi zaidi  wa mambo  yote hayo!

Mfalme Nebkadreza alijifanya kuwa  na   kiburi  cha  ukubwa  wa  nchi. Akaamuru  wawatupie  watu wanaomwabudu Mungu wa Mbingu, na dunia kwenye moto  mkubwa sana ili wafie  humo. Mara walipowatupia  ndani  ya moto  huo. Hawakuwaona wakiteketea  kwa  moto huo,  lakini wale waliokuwa wakiwatupia ndani ya moto huo waliungua  moto, wote  wakafa.

Kwa  hali  hiyo  Mungu  huwezi  ukamfananisha  na  mfalme yeyote  Yule  mwenye kiburi cha kujifanya  kuwa yeye kama  Mungu.

Mungu  tu ndiye   muweza   wa kila   kitu. Tumuuche  Mungu  aitwe Mungu  peke  yake. Maana  yeye  Mungu nguvu  zake zimawinguni,  na tena  mawingu hayo  ni   gari  la Mungu, na Magari  hayo ya Mungu yako ishirilini elfu,  maelfu  maelfu, na Malaika zake  huwa  kama Upepo. Naye huyo  Mungu wa   utukufu upiga  radi  kwa  vile Bwana  yu juu  ya maji  mengi.  Sauti ya Bwana ina nguvu ya adhama, na inapasua miale ya moto.Sauti  ya Bwana  yalitetemesha  jangwa, pia avikomesha  vita  hata  Mwisho  wa dunia, avunja  uta akata mkuki, achoma moto Magari.Acheni  mjue kuwa yeye  ni Mungu  mwenye nguvu. Mungu hapendi matendo mabaya, na mawazo mabaya. Watu  watendao matendo mabaya, na  Mawazo mabaya, siku ya mwisho wa dunia watalia na kusaga  meno.

Watu  wengine watamtukana Mungu kama  mtani  wao. Maana  maumivu  yao yatakuwa  makali  sana  kwao, kwa sababu yake kuu ni tabia mbaya za kuuwa binadamu wenzao, ambao watu hao  wanaouwa binadamu wenzao  utadhani kuwa  wao  wataishi  milele  na dunia hii, bali watu  hao wanaouwa binadamu wenzao wanajipunguzia miaka ya kuishi hapa duniani wenyewe,  kulingana  na Sayansi  ya  neno  la Mungu  lilivyo,Zaburi 37:8-10 .Linganisha tena zaburi 37:1-2. Pia Zab 37:20. Danieli 3:8 -30 .Hesabu 22:27 -35. Punda  azungumza  kama  binadamu!

Zab 68:34. Tena Zab 104:3-4. Pia Zab.68:17.Tena Zab 29:3- 4.Na Zab. 29:7 -8 . Halafu tena Zab.46:9-10.Mithal16:16-19.linganisha Zab 66:18.Luka13:27-28.Ufunuo16:17-21.Watamtukana Mungu  kama mtani wao. Kwa  hali hiyo sasa, Watu wote wa dunia  hii   waache  vita, waache  vita,waache vita. Vita  vimepitwa  na wakati  mno, kulingana   na elimu  ya  sayansi  ya kazi  na amani tunayotarajia  kuivumbua  hivi  karibuni, kwa kuyaomba mabenk yote ya dunia hii yabadili  utaratibu wa fedha  kwa kila mtu asishike  fedha mkononi kama vile noti, au sarafu. Hapo ndipo Mabenk yote   ya dunia hii  yatakuwa  na fedha  nyingi  mno! Za  mabilioni, na matilioni, ambazo fedha  hizo  itawezekana  kumkopesha  fedha  kila  mtu za  mabilioni ya  fedha  kwa muda  wa siku  moja  ya  masaa  24, baadaye fedha  hizo  zinarudi  kule   zilikotoka  kama  masaa 24  yakipita. Maana  kununua kwa  fedha  hizo  za  mikopo   mtu  atumie   simu  ya mkononi kwa  muda  wa  masaa  24,  mara message   ya  muamala   wa fedha  inapoingia  ndani   ya simu  ya  mtu. Yakipita masaa 24 , fedha hiyo  haitumiwi   kununua  chochote  inarudi  kule ilikotoka  kwa   benk, kama  salio  la kujiumga  la vocha  ya simu  muda  wake   ukimalizika. Kuzipata tena fedha hizo mpaka  kutoa ombi  lingine  kwa  kupitia simu. Ndipo  zinatumwa tena kiasi  atakachoomba mteja wa benk.

Hii  elimu  ya sayansi  ya kazi  na amani itamaliza vita vyote ulimwenguni kote, pamoja  na ugaidi , Pia  na ujambazi, na  umaskini kwa  muda  wa mwaka  mmoja  duniani  kote. Na  Pia  habari  hii kadri itavyokuwa ikienea  duniani kote, ndipo  masoko  ya hisa  ya ubadilishaji wa  fedha (forex)- Wale  mwenye  mitaji  mikubwa  na  midogo  kwenye masoko hayo ya hisa watakuwa   wakipata faida  kubwa  sana ya kufurahisha  kila  siku, kama vile soko la hisa la New York, na Washington, Marekani na soko  la  hisa  la  Londoni, Uingereza. Pamoja  na soko  la hisa  la paris,  ufaransa.

Pia  soko  la hisa la Dubai  na Emirate, umoja  wa Wafalme za kiarabu,  pamoja  na soko  la hisa  la Moscow. Urusi, na lile la Nairobi, Kenya, Pia soko la hisa  la Abuja  na Lagosi . Nigeria. Na soko la hisa  la Johannesburg na Cape town, Afrika  ya kusini, Na lile  soko  la hisa  la Dar es salaam Tanzania nchi ya  Amani iliyo na Mlima wa Kilimanjaro mrefu  na wa kwanza  kwa  bara  lote  la Afrika. Na watalii wengi  kutoka nchi mbalimbali za ulimwengu  wanapenda sana  kufika  Tanzania  ili  kuona  mlima   Kilimanjaro  na maajabu  yake,  aliyoyafanya  Mungu  wa Mbingu na dunia, Pia na kuona  Wanyama  wengi wa kila   namna  kwenye  mbuga  za Serengeti, na  Ngorongoro, Arusha, na   Mikumi, na sehemu zingine za Tanzania.

Kulingana  na  hahari  za mlima   mrefu  huo wa  Kilimanjaro  Tanzania, Wataalamu wa mambo  ya  elimu ya Sayansi ya jiologia  wanafikiria kujenga  nyumba  2 kubwa  za  kitalii  za kimataifa  zitakazokuwa na gorofa 250 kila moja  kwenda  juu. Kuanzia  juu ya kilele  cha mlima Kilimanjaro, ambazo nyumba  hizo kuanzia  ujenzi wake hadi  zitakapokuwa zimemalizika  kujengwa .Zitakuwa zikilindwa  na  Makomando wawili wa  kimataifa  wasio  na mipaka, na Wazoefu   kwa  mambo ya ulinzi  na usalama, kupitia  njia  ya  mawasiliano ya mitandao mbalimbali na akili ya AI.

Pia  juu ya nyumba  hizo zitakuwa na uwanja  wa ndege  wa kimataifa. Na uwanja   wa kuchezea mpira wa kisasa kidunia. Istoshe nyumba  hizo, ndani yake kutakuwa  na  chuo   kikuu  cha kimataifa kitakachokuwa  na  masomo  ya elimu  ya sayansi ya kujifunza  kuzuia mabadiliko ya tabia ya nchi, na hali ya hewa ya mvua kunyesha wakati wake vizuri. Pia  kutakuwa na kujifunza elimu ya Sayansi ya kuzuia  kutokea  kwa  matetemeko ya ardhi, na vimbunga, na mafuriko, pia  na  barafu. Tena  vilevile  watu watajifunza  kuvumbua  elimu  ya  kupata   dawa  ya chanjo  ya kuzuia   sumu ya  nyoka  kama mtu ata umwa  na nyoka. Pia   na chanjo  ya kuzuia  madhara  ya kupigwa  na radi  ya mvua   mtu  atakapokuwa   mahali  popote.

 Na tena  chuo  hicho   kitakuwa  na sehemu   ya  kujifunza  elimu  ya sayansi  ya ufundi  wa hali  ya juu  zaidi  wa kuzuia  vita  vyote  duniani  ya visitokee tena, ili watu  wasije   wakaanza  kupigana  vita  duniani, pamoja  na  kujifunza  elimu  ya Kisayansi  ya kuzuia  Ujambazi   na ugaidi  ili  nao usitokee  ulimwenguni kote. Pia  watajifunza  elimu  ya sayansi ya  kuzuia ajali  za magari, ndege, Pikipiki, au baskeli  visitokee duniani  n.k. Kwa  kupitia  njia  ya hali  ya hewa   ya sayari  ya mwezi, na sayari  zingine  zikichanganywa   hali  za hewa  zote  hizo  na hali ya hewa ya hapa duniani,inapatikana  hali ya hewa iliyo na  kemia  ya nguvu ya miujiza  itakayokuwa  pamoja  na mionzi  ya  jua, ili mwanadamu asije akapatwa   tena  na madhara ya  ajali, vita, matetemeko ya ardhi, vimbunga, radi  ya mvua, au sumu ya nyoka, ama Barafu n.k ikiwapo pia na akili ya AI.

Elimu  ya  masomo ya sayansi hizo itachukua muda wa  miaka miwili  kwa kila  Mwanafunzi.

Elimu  ya masomo hayo ya sayansi ya mavumbuzi  na teknolojia  itakuwa    nikutimiza  unabii  wa Danieli aliotabiri  kuwa, hata  wakati  wa mwisho  wengi  wataenda  mbio  huko  na huko, na  maarifa  yataongezeka  Danieli 12:4. Kulingana   na habari hii, kama  tukirudi  nyuma  kwa   habari  za mabenk ya dunia hii. Kama  Mabenk  yatalikataa  ombi la  kubadilisha   utaratibu  wa fedha  wa kununua  kwa  kutumia simu za  mikononi, au  kadi  ya benk  iliyo na  namba ya simu ya benk .

Ikiwa itakuwa  hivyo, yale  mashirika  ya habari  duniani kama  vile CNN, BBC, Sky News na  mengine  mengi.

Kadri yatakavyokuwa  yakiieneza habari ya hadithi hii,  kwa vyombo vya  habari duniani kote, na kwa mitandao ya kijamii  kama vile facebook, instgram,watssApp, Twitter saivi X, google, Pia  na  yahoo, na Amazon, Pia  na kwa magazeti  mbalimbali ya dunia hii. Ndipo  habari ya hadithi  hii italeta  mabilioni, na  matilioni  ya fedha   nyingi  mno  za dola na pound, au  ural pamoja  na fedha  zingine   za nchi  nyingi mbalimbali  duniani. Maana  habari  ya hadithi hii kila  kona  ya dunia watu wengi Wameipenda  sana kila  wanapoisikia  na kuisoma. Kulingana  na ujumla  wa  fedha zote  hizo  za   habari  ya  hadithi hii,  kadri  zitakavyokuwa  zikiongezeka  kuwa   nyingi  zaidi  za  matilioni  na matilioni  ya  dola, au  ural, n.k zitafanyiwa  utaratibu  mzuri  wa kumkopesha  fedha   kila   mtu  za  mamilioni  ya dola, au  ural, kila  atakayeomba  fedha   hizo. Na  mikopo  ya fedha   hiyo  ya kupitia mitandao  itakuwa  haina masharti  magumu kuikopa, kama  yale   ya mpaka mtu awe   na dhamana  ya nyumba, au shamba, au watu wa  kumdhamini  bali  mikopo hiyo  masharti  yake ni rahisi:- Ni kuwa  na picha  ya Passport size, na kueleweka  mtu  anapokaa, na  kazi  anayoifanya. kwa sababu fedha  hizo za kupitia  simu za mkononi, au kadi  ya benk iliyo na namba  ya simu ya akaunti, itakuwa ni mkopo  wa siku moja ya masaa  24.

Yakipita masaa 24 fedha hiyo  hainunuliwi  chochote. Fedha  inarudi  kule ilikotoka  kwa akaunti ya  benk. kama salio  la kujiumga la vocha ya simu, muda wake ukimalizika  wa masaa 24, n.k. Wale watakaozikopa fedha  hizo za muda wa siku moja. Watu wengine  watanunua zana za kilimo za umwagiliaji maji mashambani  na  upandaji  wa miti nyingi  ili  kulinda  mazingira yawe  mazuri  zaidi, na uoto wa asili  uendelee   kuwepo .Maana alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele, bali afuataye mambo ya upuuzi atapata umaskini wakumtosha! Mithali 28:19.Linganisha mithali 10:4 Na  2wathesalonike 3:10 Asomaye afahamu!

 

 

 

Author Joseph Isamla

Email:joseph.isamla@yahoo.com

Phone +255692054675/+255783486931

Place:Muleba Tanzania

East Africa

Comments

Popular posts from this blog

GREAT WONDERS ARE HAPPENING IN THE WORLD AI! THEY WILL INSULT GOD AS THEIR JOKER.