WAMTUKANA MUNGU KAMA MTANI WAO!
MAAJABU MAKUBWA YATOKEA DUNIANI NA “AI” WAMTUKANA MUNGU KAMA MTANI WAO! Ni jambo la kushangaza sana kusikia kuwa punda azungumza kama binadamu! maajabu hayo yametokea duniani hivi mapema. Ambayo maajabu hayo ni ya Mungu tu ndiye mtendaji wa maajabu hayo. Kama binadamu wote wa dunia hii wangeelewa vizuri kuwa Mungu yupo duniani na ndiye anaetenda maajabu mengi zaidi. Na mwenye uwezo wote kupita uwezo wote wa binadamu duniani kote,watu wasingeuwa binadamu wenzao,au wasingepigana vita duniani. Ama wasingefanya ujambazi,na ugaidi Maana mtaalamu wa mambo ya vita duniani ni Mungu peke yake, ndiye aliye na ujuzi zaidi wa mambo yote hayo! Mfalme Nebkadreza alijifanya kuwa na kiburi cha ukubwa wa nchi. Akaamuru wawatupie wat...